Timu ya Taifa Stars Tunawakosa Pacome, Aziz K na Chama.

1 year ago113 Views

 

Kuna muda natamani Pacome,Ahoua,Aziz na Chama wangekuwa Watanzania.
Timu yetu ya taifa imebarikiwa walinzi wazuri ila tunakosa Ubongo kati kati ya uwanja,tunakosa namba 10 mwenye uwezo wa ku-unlock defence ya timu pinzani,tunakosa A Pure creator kati kati ya uwanja.
Huu ni ugonjwa wa Taifa na dawa sahihi ni kutengeneza kizazi bora cha hapo badae kupitia academy.
Tunahitaji ubongo kati kati ya uwanja,tunakosa ile pasi ya mwisho,tunakosa ile pasi ya mauaji🙌
Lile goli la Mama leo limedoda walaji hakuna😄
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.