Timu ya Argentina Yatwaa Ubingwa wa COPA America 2024

Admin Updates10 months ago7 Views

 Timu ya Argentina Yatwaa Ubingwa wa COPA America 2024

Nahodha wa Argentina, #LionelMessi ameiongoza Timu yake ya Taifa kutwaa Ubingwa wa #CopaAmerica2024 kwa kuifunga #Colombia goli 1-0 katika Mchezo wa Fainali

Hadi dakika 90 zinakamilika matokeo yalikuwa 0-0, zilipoongezwa dakika 30 ndipo #LautaroMartinez akapatia #Argentina goli dakika ya 112

Argentina ambayo imetwaa Ubingwa huo mara 16 ikiwa ndio timu ililichukua mara nyingi zaidi, imefanikiwa kutetea Ubingwa huo ilioubeba Mwaka 2021 kwa kuifunga #Brazil goli 1-0

Timu zinazofuatia kwa kutwaa Copa America mara nyingi ni Uruguay (15), Brazil (9), Paraguay (2), Chile (2) na Peru (2)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.