Picha Hii ilipigwa 2014 ikimuonyesha Rais Mastaafu wa awamu ya 4 na Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia Jambo na baadhi ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) na Kamati Kuu ya CCM,Makamu Mwenyekiti Mzee Philip Mangula,Katibu Mkuu Mstaafu Ndg.Abdulrahman Kinana,Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Ndg.Ramadhani Madabida pamoja na MNEC na Mjumbe wa Kamati Kuu toka kundi la Vijana Ndg Jerry Silaa ambaye Sasa ni Mbunge wa Ukonga na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habar
FUNZO:
Kila jambo ikiwepo Uongozi au Mafanikio unatokana na kujifunza na Uvumilivu bila kumsahau kumtanguliza mwenyezi Mungu.