Tanzania Yapangwa Group B Mashindano ya CHAN 2025,Soma hapa

Admin Updates4 months ago6 Views

 Tanzania Yapangwa Group B Mashindano ya CHAN 2025

Tanzania Yapangwa Group B Mashindano ya CHAN 2025

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo limechezesha droo ya kupanga makundi ya michuano ya CHAN 2025 ambapo Tanzania imepangwa Kundi B na timu za Madagascar, Mauritania, Afrika ya Kati na Burkinafaso.

Michuano ya CHAN 2025 inachezwa kwa ushirikiano wa Tanzania, Uganda na Kenya na sasa imeahirishwa kutoka kuchezwa February mwaka huu hadi August 2025 kwasababu ya kutoa muda zaidi wa maandalizi kwa Mataifa wenyeji.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.