SUPER STAR GIGY MONEY ADAIWA KUVUNJA UCHUMBA WA MAN FONGO..CHEKI HAPA

Admin Updates9 years ago5 Views

 Msanii ambaye ni muuza nyago maarufu kwenye nyimbo za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’, anadaiwa kuvunja uchumba wa msanii anayetamba kwenye Miondoko ya Singeli, Amani Fongo ‘Man Fongo’ na mwandani wake Mariam Mfaume baada ya picha zinazowaonesha wakiwa kimahaba kuzagaa mtandaoni wakilinadi penzi lao.

Kwa mujibu wa chanzo, siku chache zilizopita iliripotiwa kwenye gazeti ndugu la hili, Amani kuwa wawili hao wanatarajia kufunga pingu za maisha kabla ya Mfungo wa Mwenzi Mtukufu wa Ramadhani, lakini ndoa hiyo imeyeyuka. Baada ya kuupata ubuyu huo, Wikienda lilimtafuta Mariam ambaye alisema chanzo cha yote ni picha kwani anaamini Gigy ‘anabanjuka’ na mumewe mtarajiwa hivyo hayupo tayari kuolewa na Man Fongo. Alipotafutwa Man Fongo, hakuwa tayari kulizungumzia suala hilo kwa madai kuwa ni ishu ya kifamilia lakini kwa upande wake Gigy anayedaiwa kuwa na msururu wa wanaume mastaa alijibu kwa kifupi: “Kama wamemaindiana mimi hainihusu.”

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.