Soma Tetesi za Rapper Chemical Kuwa Mapenzini na Producer Wake Maximizer

Admin Updates8 years ago5 Views

Rapper wa kike Bongo, Chemical amefunguka kwa kuelezea
sababu inayomfanya afanye kazi nyingi na mtayarishaji wa
muziki  Maximizer.
Akiongea na mtangazaji wa Radio Maisha ya Dodoma,
rapper huyo amesema Max amekuwa akimpatia kwenye
beat zake.
“Nina nyimbo nimefanya na maproducer wengine lakini
nafanya nyimbo nyingi na Maximizer kwa kuwa tumetoka
pamoja kwahiyo nikienda naye mimi nakuwa nasimama na
Max naye anasimama na pia ni mtu ambaye ananipatia sana.
Ninaweza nikaenda kufanya kazi sehemu nyingine lakini
nikiwa na Max nakuwa poa,” amesema Chemical
Rapper huyo ameongeza kuwa hana mahusiano yoyote ya
kimapenzi na Max kama baadhi ya watu wanavyofikiria.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.