SNURA MAJANGA ADAI KUFUNGIWA KWA CHURA KULIMKATISHA TAMAA

Admin Updates8 years ago7 Views

15034852_1198217740265763_8711447471730982912_n
Snura anasema kipindi ambacho wimbo wake Chura unafungiwa kilikuwa cha misukosuko lakini aligoma kukata tamaa.


Akizungumza na mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove, Snura alisema neno kukataa tamaa halipo kwenye orodha ya msamiati wake.
“Kwenye suala la kukataa tamaa kwangu halipo,” alisema. “Na kama ningekuwa ni mtu wa kukataa tamaa ningekata tamaa kwenye Chura, lakini sikukataa tamaa hadi kuhakikisha nairudisha na masekeseke ya chura yale yaliyotokea yangenikatisha tamaa. Nimekutana na mambo mengi sana kuhusiana na chura,” alisema.
Snura anasema hasara iliyopatikana kutokana na kufungiwa kwa chura ilikuwa kubwa kwakuwa ilikuwa na dalili za kuwaingizia fedha nyingi kwenye Youtube ukiachilia deals zingine za show.

SHARE 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.