Simba Wamrudisha Juma Mgunda Kuwa Kocha Baada ya Benchikha Kupewa Thank you

1 year ago110 Views

 

Uongozi wa klabu ya Simba Uongozi umemteua Kocha Juma Mgunda kukinoa kikosi cha Simba akisaidiwa na Selemani Matola hadi hapo Bodi ya Wakurugenzi itakapotoa uamuzi mwingine.
Hatua hiyo imekuja baada klabu hiyo kuvunja mkataba na aliyekuwa Kocha wa kikosi hicho,
Abdelhak Benchikha pamoja na wasaidizi wake wawili Kamal Boujnane na Farid Zemit.
Juma Mgunda ataanza kazi katika mchezo wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC utakaochezwa April 30, Ruangwa Mkoani Lindi katika Uwanja Majaliwa.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.