Simba SC, Singida BS Zafuata Nyayo za Yanga na Azam

Masama BlogMICHEZO4 months ago150 Views

Simba SC, Singida BS Zafuata Nyayo za Yanga na Azam

Simba Sc imechukua alama zote tatu dhidi ya Gaborone United kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) huku Singida Black Stars ikiilaza Rayon Sport ya Rwanda kwenye kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)

Ni muendelezo wa ushindi kwa timu za Tanzania kwenye michuano ya Afrika baada ya Yanga Sc kuilaza Williete Sc ya Angola kwenye CAFCL kabla ya Azam Fc kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya El Merriekh Bentiu ya Sudan Kusini kwenye CAFCC l.

FT: Gaborone Utd 🇧🇼 0-1 🇹🇿 Simba Sc
⚽ 15’ Mpanzu

FT: Rayon Sports 🇷🇼 0-1 🇹🇿 Singida BS
⚽ 23’ Tchakei

SOMA ZAIDI HIZI HAPA

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.