Shuhuduia Msiba wa Ndikumana Watu Mbalimbali Wlivyoakusanyika Nyumbani kwa Irene Uwoya

Special Correspondent7 years ago8 Views

Msiba wa Ndikumana: Watu Mbalimbali Wakusanyika Nyumbani kwa Irene Uwoya

MASTAA na watu mbalimbali wanaendelea kufika nyumbani kwa mwigizaji wa filamu Irene Uwoya, Sinza-Mori, jijini Dar es Salaam kuwafariji wafiwa kutokana na kifo cha aliyekuwa mume wa staa huyo, Hamad Ndikumana, aliyefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwao Rwanda kutokana na maradhi mbalimbali.

Kabla ya kifo Ndikumana alikuwa kocha msaidizi wa timu ya Rayon Sports ya nchini humo  akiwa pia amewahi kuchezea timu mbalimbali za soka barani Afrika na Ulaya.

Kwa Irene Uwoya ameacha mtoto mmoja aitwaye Krish. 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...