RC Senyamule na Waziri Masauni Washiriki Uzinduzi wa Nyumba na Mitambo ya Askari wa Zimamoto

Admin Updates1 year ago9 Views

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule na Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni (Pichani walioshikilia mfano wa Funguo)wameshiriki hafla ya uzinduzi wa nyumba za makazi ya Askari wa jeshi la zimamoto na uokoaji pamoja na uzinduzi na makabidhiano ya mitambo ya zimamoto na uokoaji iliyofanyika  13/05/ 2024 kikombo Jijini Dodoma.
Mgeni rasmi katika hafla hiyo ni Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni (Kushoto)ambapo viongozi mbalimbali wa Serikali akiepo Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi  Mhe.Sillo wamehudhuria hafla hiyo.
Naibu waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspari Mmuya,RC Rosemary Senyamule pamoja na Bw.Ally Gugu ambaye ni katibu Mkuu Wizara ya mambo ya Ndani ya Nchi wakijadili jambo katika uzinduzi huo.

 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...