RAS Kilimanjaro Dkt.Tixon Nzunda na Dereva wake wafariki kwa ajali Hai Kilimanjaro

Admin Updates11 months ago4 Views

 Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Tixon Nzunda (Pichani)na dereva wake wamefariki kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la KIA wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, na kwamba imetokea majira ya saa nane mchana leo Juni 18, 2024.

“Ni kweli wakati anatoka KIA amepata ajali mbaya sana, ndio na mimi nakwenda eneo la ajali,”amesema RC Babu

Muda mfupi kabla ya ajali hiyo, alikuwa na kikao na wadau wa maendeleo kutoka nchini Namibia kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo

Katika ajali hiyo inadaiwa kuwa, dereva wake naye amefariki dunia.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.