Rais Samia: Nashangaa “Wakati Sisi Tunalumbana, Bandari Apewe Nani Wenzetu Majirani Wameenda Kule kule”….afunguka Mazito

Admin Updates1 year ago7 Views

 

“Wakati sisi tunalumbana, bandari apewe nani, wenzetu kwa kuona malumbano yetu “wame-jump” wameenda kulekule, na lilelile jumba lililowekwa bendera ya Tanzania, limewekwa bendera ya jirani

Sasa (kama) Tanzania tumeuza wale jirani wamekimbilia kule kufanya nini?, na siku ambayo Bunge letu limesema kwamba ni ruhusa bandari iendeshwe na Serikali na sekta binafsi, siku ya ya pili wenzetu wakasema ninyi moja, sisi zote zilizoko huku ziende sekta binafsi na wakakimbia kule kwenda kuwahi nafasi kama wale wanalumbana njooni huku.

Sasa muone jinsi fursa zinavyokuja na kukimbia haraka na jinsi wengine wanavyoweza kuzitumia harakaharaka.” – Rais Samia Suluhu Hassan
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.