Rais Samia Ampongeza Mgombea wa Upinzani Aliyeshinda Urais Senegal

Admin Updates1 year ago4 Views

 Rais Samia Ampongeza Mgombea wa Upinzani Aliyeshinda Urais Senegal

Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pongezi kwa Rais mteule wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye baada ya kuibuka mshindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili Machi 24, 2024.

“Nawasilisha pongezi zangu za dhati kwa mheshimiwa Bassirou Diomaye Faye, Rais mteule wa Jamhuri ya Senegal, kwa ushindi wako katika uchaguzi wa urais wa 2024 wa Senegal; na watu wa Senegal kwa uchaguzi wa amani. Natarajia kuendelea kufanya kazi pamoja ili kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Senegal,”ameandika Rais Samia katika mitandao yake ya kijamii.

Faye anaingia madarakani baada ya kumshinda mpinzani wake mkuu kutoka muungano wa chama tawala, Amadou Ba, ambaye alikuwa Rais wa Senegal.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.