RAIS RUTO autupilia mbali MUSWADA wa FEDHA 2024, adai amesikiliza na kutii sauti za WAKENYA

1 year ago131 Views

 RAIS RUTO autupilia mbali MUSWADA wa FEDHA 2024, adai amesikiliza na kutii sauti za WAKENYA

RAIS RUTO autupilia mbali MUSWADA wa FEDHA 2024, adai amesikiliza na kutii sauti za WAKENYA

Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kuwa ameufuta mpango wake wa kusaini muswada ambao umesababisha maandamano makubwa Nchini humo kwa siku kadhaa “kwa kuwasikiliza Watu wa Kenya waliopaza sauti kwamba hawautaki muswada huo, nimeamua sitousaini… kama Taifa sasa kuna umuhimu wa kuwa na majadiliano ya namna tutakavyokwenda mbele” 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.