Rais Mstaafu Kikwete azungumzia saa za mwisho za Mkapa “nilimuona jana Hospitali, nimeshtuka sana” (+video)

Special Correspondent4 years ago4 Views

Rais wa awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa pole kwa Mama Anna Mkapa, Mke wa Rais Mkapa ambaye amefariki duniani usiku wa kuamikia leo.

Akizungumza baada ya kusaini kitabu cha maombolezo, Rais Kikwete amesema  kifo ni  siri ya Mwenyezi  Mungu, “ jana nilikwenda kumuona hospitali, tulizungumza sana, alikuwa na maumivu lakini ya kawaida, sio yale ambayo unaweza kusema nimemuona mgonjwa lakini…tulizungumza mengi.

“Nilipopata taarifa niliuliza kimetokea nini tena, kwa sababu hakuwa mgonjwa ambaye unaweza kutia shaka, niliondoka nikamuaga bwana nitakuja kukuona tena kesho, ila sikuombei uendelee kukaa  hospitali, natamani nije nikusalimie nyumbani, akaniambia naona nipo vizuri” Jakaya Kikwete Rais Mstaafu

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.