Rais Kenyatta aguswa na msiba wa Mstaafu Mkapa

Special Correspondent4 years ago4 Views

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametuma ujumbe wa salamu za pole kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli; Watanzania wote pamoja na familia kufuatia kifo cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.
Katika ujumbe wake, Rais Kenyatta amemuomboleza kiongozi huyo kama mtu bora wa Afrika Mashariki aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili ya amani na maendeleo ya Kanda ya Afrika Mashariki.
Rais Kenyatta ameitakiwa familia ya Rais huyo Mstaafu na Watanzania wote kwa ujumla faraja kutoka kwa Mungu wakati huu wa kuomboleza kuondokewa na Kiongozi wao.
Benjamin William Mkapa aliyefariki usiku wa kuamkia leo hospitalini alikokuwa amelazwa alikuwa Rais wa Tanzania kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 kupitia chama cha CCM.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.