Phiri Afunguka Haya Kuhusu Penati Aliyokosa Kwenye Ngao ya Jamii

Admin Updates1 year ago7 Views

Mshambuliaji wa Simba Moses Phiri ameandika katika mtandao wa Instagram kuwa amechelewa kuchapisha picha akiwa na Ngao ya Jamii kwakuwa alitingwa katika kuutafuta mpira uliopotea Usiku wa jana katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga dhidi ya Yanga.

“Pole jamani nimechelewa kwa sababu nilienda kutafuta mpira nilioukosa jana. Firstly Thank you to all Simba fans who celebrated with us yesterday night good effort to all the players including the board members who came through asanteni” Ameandika Phiri.

Itakumbukwa mara baada ya kutamatika dakika 90 ya fainali ya Ngao ya Jamii mchezo huo uligeukia katika changamoto ya mikwaju ya penati ambapo Simba iliibuka ushindi wa penati 1-3.

Kwa matokeo hayo Simba imetawazwa kuwa bingwa mpya wa Ngao ya Jamii na kufikia rekodi ya Yanga ya kubeba taji hilo mara Saba

 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.