Rais wa Kamisheni inayosimamia ngumi za kulipwa Tanzania (TPBRC) Chaulembo Palasa ameiambia @AyoTV_ kuwa Bondia Mtanzania Karim Mandonga hajafungiwa kama inavyoripotiwa na baadhi ya Vyombo vya Habari bali sheria za ngumi nchini zinamtaka Bondia yoyote atayepoteza pambano kwa KO au TKO kabla ya kurudi ulingoni kwa pambano jingine kupimwa afya.
Palasa mesema kwakuwa Mandonga alipoteza dhidi ya Moses Golola Raia wa Uganda July 29 2023 Jijini Mwanza kwa TKO haruhusiwi kupanda ulingoni kucheza pambano jingine hadi afanyiwe vipimo vya afya kwa usalama wake.
Hivyo Mandonga jana amefanyiwa vipimo vya afya (MRI ya kichwa) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na majibu yatatoka leo August 15, 2023 saa 9:00 Alasiri kama yupo sawa kiafya kurejea ulingoni kwani ana pambano Zanzibar August 27,2023.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







