Rais wa Ngumi Tanzania Atoa Ufafanuzi kuhusu Bondia Karim Mandonga kufungiwa Kucheza Ngumi’

2 years ago137 Views

Rais wa Kamisheni inayosimamia ngumi za kulipwa Tanzania (TPBRC) Chaulembo Palasa ameiambia @AyoTV_ kuwa Bondia Mtanzania Karim Mandonga hajafungiwa kama inavyoripotiwa na baadhi ya Vyombo vya Habari bali sheria za ngumi nchini zinamtaka Bondia yoyote atayepoteza pambano kwa KO au TKO kabla ya kurudi ulingoni kwa pambano jingine kupimwa afya.

Palasa mesema kwakuwa Mandonga alipoteza dhidi ya Moses Golola Raia wa Uganda July 29 2023 Jijini Mwanza kwa TKO haruhusiwi kupanda ulingoni kucheza pambano jingine hadi afanyiwe vipimo vya afya kwa usalama wake.
Hivyo Mandonga jana amefanyiwa vipimo vya afya (MRI ya kichwa) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na majibu yatatoka leo August 15, 2023 saa 9:00 Alasiri kama yupo sawa kiafya kurejea ulingoni kwani ana pambano Zanzibar August 27,2023.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.