Mpambe
na Rafiki Mkubwa wa Wema Sepetu Petit Man Amesema Kamwe Hawezi kuachana
na Wema eti kwa Sababu Shemeji yake Diamond Ana mahusiano na Mwanamke
mwingine.. Kauli hiyo inaashiria kwamba Petman yupo tayari kunyang’anywa
Mke endapo uhusiano wake na Wema Sepetu hautaipendeza familia ya
Diamond kuliko kuvunja uhusiano na Wema Sepetu ..
Petitman ameyasema hayo akiwa na Ommy Dimpoz alipokuwa akitambulisha
nyimbo yake mpya katika vyombo mbali mbali vya habari Alisema “Mimi na
Wema ni Damu Damu …ila mambo ya mahusiano kila mtu na mambo yake
hatuingiliana wala kuwekeana mipaka ”