Paul Pogba Asimamishwa Kucheza Soka, Kisa Hiki Hapa

Admin Updates1 year ago6 Views

 

Kiungo wa Juventus, Mfaransa Paul Pogba, amesimamishwa kwa muda kucheza Soka, kutokana na kukutwa na hatia ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ambazo zimezuiliwa michezoni.

Kipimo, kilichofanywa baada ya ushindi wa Juve dhidi ya Udinese, mechi iliochezwa mwezi Agosti mwaka huu, kilitambua uwepo wa Testosterone, Homoni ambayo huongeza nguvu (endurance), kinyume na Sheria, kwa Pogba ambaye alianzia benchi katika mchezo huo.
Taasisi ya kupambana na Dawa za kuongeza nguvu michezoni nchini Italia, leo imefikia uamuzi huo dhidi ya Pogba.

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.