NILIKUWA NATANIA TU KUTAFUTA MUME INSTAGRAM, MUME MWEMA HUTOKA KWA MUNGU – RAY C

Admin Updates9 years ago5 Views

Ray C anaweza kuwa amezivunja roho za wanaume zaidi ya 500 waliojipanga mstari kujibu ofa yake aliyoitangaza kwenye Instagram kuwa anatafuta mume.

Ray C ameiambia Bongo5 kuwa mume mwema hatafutwi kwenye mitandao bali huletwa na mwenyezi Mungu.

“Huo ulikuwa utani tu,” amesema Ray C.

“Nilikuwa nataka kuwafurahisha kidogo watu wangu wa Insta. Watu wengi sana, nimepata simu nyingi kweli kweli. Nimepokea zaidi ya simu 500 mpaka saa sita usiku. Kwahiyo nimeona mashabiki wangu bado wapo, wananipenda sana,” amesema.

“Hapana sina mpango wa kuolewa. Mume mwema anatoka kwa Mungu, huwezi kusema unatangaza. Mume mwema anatoka kwa Mungu nikimpata mtasikia, sasa hivi sipo kwenye mahusiano, sina mtu yoyote.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.