Ngao ya Jamii, Yanga Kuivaa Azam, Simba Kuivaa Singida United

2 years ago90 Views

 

Shirikisho la Soka Tanzania (#TFF) limeweka ratiba ya Ngao ya Jamii 2023 ambayo safari hii inafanyika katika Mfumo mpya huku Mechi zote zikichezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, #Tanga ikishirikisha Timu nne ambazo ni #Yanga, #Simba, #AzamFC na Singida Fountain Gate
Agosti 9, 2023 Yanga itavaana na Azam FC huku Agosti 10 ni Simba dhidi ya Singida. Timu zitakazofungwa zitakutana kupata Mshindi wa Tatu mnamo Agosti 13, 2023 wakati Mchezo wa Fainali nao utapigwa Siku hiyohiyo kwa kuzikutanisha timu zilizoshinda

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.