Week Kadhaa zimepita sasa toka Nay wa Mitego alipotoa majibu ya DNA ya
mtoto wake baada ya Utata kutokea kuwa Mtoto si wake, Majibu ya DNA
yalitoka na yakaonyesha kweli mtoto ni wa Nay wa Mitego ..
Kutokana na uamuzi wa Nay wa Mitego wa kwenda kuhakikisha kama mtoto ni
wake watu wameanza kuongea chini chini kuwa lazima na Emmanuel Mbasha
aende kumpima mtoto wake na Flora Mbasha kwani naye ana utata baada ya
mume wa Flora kumtuhumu Askofu Gwajima kuwa anamahusiano na Mke wake na
ndio chanzo cha ndoa yao kuvunjika…..
Je wewe unamshaurije Emmanuel Mbasha?