MSANII QUEEN DARLEEN AFUNGUKA HAYA KUHUSU MAHUSIANO YAKE NA ALI KIBA

9 years ago89 Views

Katika kuelekea kuumaliza mwaka, timu nzima ya Wcb na wapenda burudani wanakutana kwenye  kiwanja cha  Jangwani Seabreez kwaajili ya party maalumu ya kufunga mwaka iliyo andaliwa na timu hiyo.
Queen Darleen
ALLY-K23
Queen Darleen
Perfect255
“Sitoweza ku-perform nyimbo ya wajua niliyoimba na Alikiba  sababu pale nimepangiwa nyimbo tatu yaani moja mpya na mbili za zamani. hivyo nimechagua nyimbo tatu ambayo ni Wanatetemeka,Kokoro na Kijuso ambayo ni mpya.” ametuchana hiyo Darleen.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.