MSANII LADY JAY DEE AMTAMBULISHA RASMI MUME WAKE WA SASA KWENYE TUZO ZA EATV

Admin Updates8 years ago5 Views

lady-jay-dee
Msanii mkongwe wa muziki Lady Jay Dee ameutumia usiku wa EATV Awards 2016 kumtambulisha rasmi mbele ya mashabiki mwanaume ambaye anadaiwa kuwa ni mume wake.

Muimbaji huyo ambaye usiku jana aliambatana na mwanaume huyo kupokea tuzo ya Mwanamuziki bora wa kike, alilitumia jukwaa hilo kuwashukuru mashabiki wa muziki wake pamoja na kumtambulisha mwanaume huyo ambaye ni mgeni machoni pa wengi.
Baada ya shukrani kwa mashabiki na kutaka kuondaka alirudi jukwaani nakusema, “Nilitaka kusahau huyu ni baby wangu” kauli ambayo iliibua shangwe kubwa kwa mashabiki.
Wiki chache zilizopita, muimbaji huyo kupitia Instagram alipost picha ya mwanaume huyo na kuandika:
“Big shout out kwa Coastal air Kwa kufanikisha safari yangu kwenda honeymoon #ZanzibarIsland,”
kauli ambayo ilitafsiriwa huwenda wawili hao wamefunga ndoa.

Jay Dee hakuwahi kuweka wazi mahusiano yake tangu aachane na aliyekuwa mue wake, Gardiner G Habash.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.