Chuchu Hans amedai kuwa yeye hakuwahi kuwa na ugomvi na Johari bali ni ulikuzwa tu na mitandao amedai yeye anachojua ni kuwa Johari na Ray ni Business Partner hivyo hawezi kuwaingilia katika kazi na anauheshimu uhusiano huo…
Pia ameongeza kuwa Ray anapenda sana watoto hivyo anawalea watoto wake wawili aliopata kwa bwana mwingine kama watoto wake