Msanii Amber Lulu: Sijiachii Utupu Ili Nitamaniwe

Admin Updates8 years ago6 Views

MWANAMITINDO ambaye pia ni muuza nyago kwenye video za Kibongo, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ ameweka wazi juu ya picha anazoposti kwenye mitandao ya kijamii zinazomuonesha akiwa nusu utupu kuwa haweki hivyo kutamanisha wanaume.

Akizungumza na Global TV Online kupitia kipindi cha Exclusive Interview mchana wa leo, Amber ambaye ametokea kwenye video kibao za Kibongo ikiwemo Too Much ya Darassa na Inde ya Dully alisema, wapo watu wengi wamekuwa wakimtumia meseji kwa kumtamani kisa wameona picha zake.

“Mi naposti kwa ajili ya biashara za nguo, navalishwa na kampuni then ninapoposti nguo ile inakuwa sokoni sasa kuna watu wengine wanakuja juu kwa kunitamani sa nawashangaa huko kunitamani vipi?,” alisema Amber.

Amber pia alizungumza juu ya mastaa aliotoka nao kimapenzi hadi sasa na kusema kuwa wanazidi 100

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.