Mrembo Tessy Chocolate Afungukia Tetesi za Aslay Kutomuhudumia Mtoto Wao

Special Correspondent6 years ago5 Views

Mzazi mwenzake na Staa wa Bongo fleva Aslay Isihaka, Tessy Chocolate amefungukia tetesi zinazodai kuwa baba wa Mtoto wake huyo amegoma kumuhudumia mtoto wao baada ya wao kuachana.

Kumekuwa kuna tetesi kwenye mitandao ya kijamii kuwa tangu walipoachana miezi michache iliyopita Aslay amemsahau kabisa binti yake Moza na kuwa busy na wanawake wengine kiasi ya kwamba hakumbuki hata kutoa pesa ya matumizi.




Lakini Mama Watoto Wake anayejulikana Kama Tessy Chocolate amekana tetesi hizo na kusema Askay ni baba mzuri sana kwa binti yao na anashukuru amekuwa akimuhudumia Mtoto wao.


Kwenye mahojiano aliyofanya na Millard Ayo, Tessy Chocolate alifunguka haya kuhusu uhusiano Wake na Baba Watoto Wake huyo:


Hizo stori hazina ukweli wowote kusema ukweli mimi nashukuru kuwa Aslay anatimiza majukumu yake kama baba anavyotakiwa na kama unamfatilia utaona anamposti sana mtandaoni angekuwa amuhudumii nisingeweza kumruhusu amposti lakini namshukuru kila siku kwa kuwa baba bora kwa binti yake”.


Lakini pia Tessy Chocolate ameweka wazi kuwa hana Bifu na Baba Mtoto Wake hivyo hata akiwa na wapenzi wengine yeye hana neno kwa sababu kila mtu ana maisha yake kwa sasa.Aslay




Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.