MREMBO RUBY NAOGOPA AFUNGUKA HAYA KUHUSU MPENZI WAKE HUYU

Admin Updates9 years ago6 Views

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva anayefanya poa, Hellen George ‘Ruby’ amesema kati ya vitu anavyoogopa duniani ni pamoja na kumuanika mwandani wake hadharani.

 Akipiga stori anayetikisa na ngoma zikiwemo Na Yule, alisema kuwa wanaume wengi wanakuwa katika uhusiano na msanii kwa sababu ya maslahi yao binafsi na pili kitendo cha kumuanika kinaweza kumfanya akazidi kuringa na kumpelekesha.
“Naogopa kweli kumuanika mwandani wangu, ujue unapomtangaza kuna watu wanakufitini ili wakupindue sasa kama hamjashibana ni rahisi kusikiliza maeneno ya watu, si hilo tu mwingine ukimuanika anajiaminisha basi anaanza kukupa masharti mara jukwaani usikatike sana,” alisema Ruby.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.