MPYAA: Mawaziri Anthony Mavunde na Jerry Silaa wakutana LIVE kwenye Kliniki hii kubwa Dodoma Leo.

Admin Updates1 year ago4 Views

 Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry William Silaa akiwa pamoja na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Anthony Peter Mavunde wakati wa Kliniki ya usikilizaji na utatuzi wa migogoro ya Ardhi kwa wananchi wa Dodoma Jiji.

 

Mamia ya Wananchi wa Jiji lla Dodoma wakiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe.Anthony Mavunde waliofika leo asubuhi katika Kliniki Maalum ya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi iliyoanzishwa na Waziri wa Wizara Hiyo Mhe.Jerry Silaa kwa ajili ya Kuhakikisha wanasikilizwa na kutatuliwa shida zao zinazotokana na migogoro ya Ardhi ambapo Kliniki hiyo imeonyesha mafanikio makubwa mpaka sasa.

Waziri Silaa akiwa na Katibu Mkuu wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ndugu Sanga wakimsikiliza mmoja wa wananchi wa Dodoma waliofika katika Kliniki hiyo leo Asubuhi.
Waziri wa Madini na Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe .Anthony Mavunde  akimsikiliza mmoja wa wananchi wa Dodoma waliofika katika Kliniki hiyo leo Asubuhi kutatuliwa moja ya shida za migogoro ya ardhi ambapo Mbunge Mavunde ameahidi kuwasaidia wananchi wake kuhakaikisha wanapata utatuzi wa Migogoro hiyo.

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.