Mbunge Msukuma: Mpina Afanyiwe Uchunguzi wa Afya ya Akili….

1 year ago119 Views

 Mbunge Msukuma: Mpina Afanyiwe Uchunguzi wa Afya ya Akili....

Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma ameshauri Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina afanyiwe uchunguzi wa afya ya akili akisema kwamba haamini kama yuko sawa.
Musukuma amesema kuwa matendo ambayo Mpina aliyafanya akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi yanamfuata hadi leo akisema kuwa aliwasababishia watu wengi maumivu.
Musukuma ametoa pendekezo hilo wakati akichangia hoja ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu uchunguzi wa kamati juu ya tuhuma dhidi ya Mpina ya kudharau mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.