Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma ameshauri Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina afanyiwe uchunguzi wa afya ya akili akisema kwamba haamini kama yuko sawa.
Musukuma amesema kuwa matendo ambayo Mpina aliyafanya akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi yanamfuata hadi leo akisema kuwa aliwasababishia watu wengi maumivu.
Musukuma ametoa pendekezo hilo wakati akichangia hoja ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu uchunguzi wa kamati juu ya tuhuma dhidi ya Mpina ya kudharau mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







