Marekani Chini ya Utawala wa Trump Haita Ipa Tena Ukraine Msaada wa Kivita

Admin Updates3 months ago6 Views

 

Marekani chini ya utawala wa Rais Donald Trump imetangaza kuwa haitoendelea tena kuisaidia Ukraine kifedha wala silaha za kivita kwasababu kipaumbele cha Marekani ni majadiliano ya amani na kumaliza vita ya Ukraine na Urusi.
Uamuzi huu wa Marekani umetangazwa usiku wa kuamkia leo March 01,2025 na Msemaji wa Ikulu ya Marekani, Caroline Leavitt ikiwa imepita siku moja tangu Trump na Rais wa Ukraine Zelensky wazozane mbele ya camera za Waandishi wa Habari.
Caroline amesema “Hatutoendelea tena kuandika check kufadhili vita, hatutoendelea kuifadhili nchi ambayo haitaki amani ya kudumu, ilikuwa vizuri kwamba camera zimeonesha ule mzozo wa Trump na Rais wa Ukraine na Wamarekani na Dunia nzima imeona kile ambacho Trump na Timu yake wanashughulika nacho nyuma ya pazia wakati wa majadiliano ya kumaliza vita”
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.