Mapenzi Kikohozi…Je Huyu Ndio Mpenzi Mpya wa Vanessa Mdee?

Admin Updates7 years ago6 Views

Mapenzi Kikohozo...Je Huyu Ndio Mpenzi Mpya wa Vanessa Mdee?

Msanii wa kike bongo kwenye game ya bongo fleva anayekimbiza kimataifa Vanessa Mdee, ameonekana kupata mbadala wa aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu Juma Jux, kwa kuanza kumposti mwanaume mwingine huku kukiwa na ‘caption’ zenye ujumbe wa mahaba.

Kwenye ukurasa wake wa Instagram siku chache zilizopita Vanessa Mdee alimposti msanii wa Nigeria Run Town na kuandika ujumbe wenye utata kwa hali ya kawaida, huku mwenye we Run Town akijibu kwa kuandika ‘Nakupenda babe’.

Lakini pia msanii huyo wa Nigeria alimposti Vanessa Mdee kumtakia heri kwenye siku yake ya kuzaliwa ambayo ilikuwa mwezi wa 6 na Vanessa kujibu kwa ujumbe wa mahaba, na pia Vanessa alimuweka Run Town na kuandika ujumbe mtamu na kisha Runtown kurudisha majibu kwa ujumbe mtamu zaidi wa mahaba.

Hivi karibuni Vanessa Mdee ameweka wazi kuwa hayupo kwenye mahusiano yoyote kwa sasa huku akiweka wazi bado ana hisia juu ya mpenzi wake zamani Juma Jux, lakini kwa sasa inaonekana mambo yameenda sawa na kumpata mbadala wake.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.