
Msanii wa kike bongo kwenye game ya bongo fleva anayekimbiza kimataifa Vanessa Mdee, ameonekana kupata mbadala wa aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu Juma Jux, kwa kuanza kumposti mwanaume mwingine huku kukiwa na ‘caption’ zenye ujumbe wa mahaba.
Kwenye ukurasa wake wa Instagram siku chache zilizopita Vanessa Mdee alimposti msanii wa Nigeria Run Town na kuandika ujumbe wenye utata kwa hali ya kawaida, huku mwenye we Run Town akijibu kwa kuandika ‘Nakupenda babe’.
Lakini pia msanii huyo wa Nigeria alimposti Vanessa Mdee kumtakia heri kwenye siku yake ya kuzaliwa ambayo ilikuwa mwezi wa 6 na Vanessa kujibu kwa ujumbe wa mahaba, na pia Vanessa alimuweka Run Town na kuandika ujumbe mtamu na kisha Runtown kurudisha majibu kwa ujumbe mtamu zaidi wa mahaba.
Hivi karibuni Vanessa Mdee ameweka wazi kuwa hayupo kwenye mahusiano yoyote kwa sasa huku akiweka wazi bado ana hisia juu ya mpenzi wake zamani Juma Jux, lakini kwa sasa inaonekana mambo yameenda sawa na kumpata mbadala wake.

Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






