LUCY KOMBA AVUNJA UKIMYA KUHUSU MUME WA UWOYA BWANA NDIKUMANA

Admin Updates10 years ago5 Views




Lucy Avunja Ukimya Kuhusu NdikumanaStaa wa Bongo Movie ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni, Lucy komba
ameamua kuelezea tuhuma zinazomkabili za kua na uhusiano wa kimapenzi na
Hamad Ndikumana, aliekua mme wa msanii mwenzake Irene Uwoya.Akizungumza
na gazeti la sani Lucy ameelezea kwamba hakuna jambo lolote
linalowakutanisha na Hamad zaidi ya filamu iitwayo “Kwanini nisimuoe”
inayohusisha watu wawili tu.

Lucy alisema walipokua wanarekodi filamu hiyo ndio uvumi mwingi
ulianzishwa. Ingawa mashabiki wengi walipinga kuwa haiwezekani filamu
nzima ikahusisha watu wawili tu na kwamba hao wawili wanauhusiano lakini
Lucy amesema kwamba filamu hiyo ikitoka itatoa majibu yote na
amewasisitiza mashabiki wainunue filamu hiyo ya “kwanini nisimuowe”.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.