KWA WANAODATA NA GARI ZA ROLLS ROYCE, HILI NI LAO KWENYE TOLEO JIPYA !!..CHEKI LILIVYO ZURI

Admin Updates10 years ago5 Views

R2Rolls-Royce
ni moja ya magari ya kifahari ambayo mimi nimezoea kuyaona tu kwenye
video za Mastaa wakubwa wa muziki duniani na ni moja ya magari nadra
SANA kukutana nayo mitaani hapa Tanzania.
Nimekutana na post mpya ya May 8 2015
inayosema hili ni gari lao kwenye toleo jipya, ni post ambayo haikuwa na
maelezo zaidi ila mengine nitayatafuta mtu wangu.

R1

R3

R4

R5

R6

R7

R8

R9

R10

R11

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.