Kombe la shirikisho barani Afrika Kufutwa rasmi

Admin Updates1 year ago5 Views

 

Baada ya ujio wa African Football League sasa ni rasmi inaenda kuchukua nafasi ya Klabu Bingwa Afrika hii inamaana kuwa Kombe la Shirikisho barani Afrika litafutwa rasmi.
Moja ya Sifa ya kushiriki hili kombe la African Football League ni zinachukuliwa timu zenye ukusanyaji mkubwa wa alama za Shirikisho la Mpira wa miguu Afrika (CAF) kutokana na matokeo Yao ya Awali na itaangaliwa kulingana na ukanda maana kila ukanda katika bara hili la Afrika litatoa timu kadhaa kwa ajili ya kuwakilisha katika michuano hiyo hiyo ya African Football League (AFL).
Mshindi wa AFL moja kwa moja atajumuika kushiriki Kombe la Dunia la Vilabu 2029.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.