Kocha Simba : Tunahitaji Wachezaji Wapya Kama Mpanzu

1 year ago114 Views

 Kocha Simba : Tunahitaji Wachezaji Wapya Kama Mpanzu

FADLU DAVID’S TUNAHITAJI WACHEZAJI WAPYA

“Hatutosajili kwa kuongeza idadi,Kama wanapatikana wachezaji Bora zaidi ya tulionao tutasajili ila wakikosekana tutaendelea(kuwapandisha ubora) na Hawa waliopo”

“Tunahitaji wachezaji wapya waje kuingia kikosi Cha kwanza Moja kwa moja mfano Mpanzu ambae anaonyesha utofauti Mkubwa na washambuliaji waliopo ana ubora mkubwa wa kucheza nafasi zote za ushambuliaji AM,RW,LW hata SS”

FADLU DAVIDS – Kocha Mkuu wa Simba Sc

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.