Kocha Romain Folz Amkubali Mchezaji Kouma

Masama BlogKITAIFAMICHEZO3 months ago153 Views

Kocha wa Yanga SC Romain Folz amevutiwa sana na kipaji cha mchezaji wake Kouma,

Licha ya ugeni wa Kouma kwenye kikosi cha Yanga SC,

Lakini mchezaji huyo ameonesha performance nzuri Mazoezini pamoja na kwenye mechi iliopita ya kirafiki dhidi ya Rayon sports,

Kouma ni mchezaji mwenye talent kubwa sana,
Skills kubwa pia ya kucheza mpira,

SOMA HII: Je Akili Bandia(AI) ni Nini? Inafanyaje Kazi? Soma hapa

It’s a matter of time πŸ‘

Lakini huyu jamaa ni play maker mzuri sana uwanjani,

Ni mwepesi na ana speed sana uwanjani
Ni full charge player πŸ™Œ

Ngoja Romain Folz amalizie kuunganisha mitambo yake vizuri pale jangwani,

Hakika Kouma atafanya vizuri sana na Yanga SC πŸ™Œ

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...