Kennedy Musonda wa Yanga Aifunga Ivory Coast na kuipeleka Zambia AFCON 2025

1 year ago118 Views

 Kennedy Musonda Atupia na Kuipeleka Chipolopolo AFCON 2025

Timu ya taifa ya Zambia ‘Chipolopolo’ imefuzu kwenda AFCON 2025 baada ya kuwalaza Mabingwa watetezi, Ivory Coast kwenye mchezo wa raundi ya 5 wa kufuzu michuano hiyo itakayofanyika Nchini Morocco.

Bao pekee la Kennedy Musonda limewapeleka Chipolopolo kileleni mwa Kundi G wakifikisha pointi 10 baada ya mechi 5 huku Ivory Coast wakiporomoka mpaka nafasi ya pili wakiwa na pointi 9.

Sierra Leone wanakamata nafasi ya tatu wakiwa na pointi 5 huku Chad wakiburuza mkia wakiwa na pointi tatu.

FT: Zambia 🇿🇲 1-0 🇨🇮 Ivory Coast

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.