Kaizer Chiefs Wanamtaka Kocha Gamondi, Mkataba wake Yanga ..Soma hapa

Admin Updates1 year ago5 Views

 Kaizer Chiefs Wanataka Kocha Gamondi, Mkataba wake Yanga Wamalizika Karibuni

Inaelezwa wakati Yanga ilipokuwa Sauzi ikicheza na Mamelodi Sundowns, klabu kubwa ya huko Kaizer Chiefs ilikuwa inapiga hesabu ikiwa jukwaani na fasta ikalichukua jina la kocha wa wababe hao wa Ligi Kuu Bara, yaani Miguel Gamondi.
Kaizer Chiefs maarufu kama Amakhosi wamelichukua jina la Gamondi katika mchujo wa mwisho baada ya kushusha sapraizi bab’kubwa ya kuwabana Mamelodi nyumbani baada ya awali kuwabana Kwa Mkapa jambo liiliwashtua mabosi wa Kaizer wakiona kama kocha huyo Muargentina anaweza kuja kuwa suluhisho la kusitisha ufalme wa Mamelodi katika Ligi ya PSL.
Hatua ya kushtua zaidi kwa Yanga ni Gamondi mkataba wake na Yanga umebakiza miezi tu kabla ya kumalizika mwisho wa msimu huu, kitu kilichowaongezea mzuka mabosi wa Kaizer kuliweka jina lake mezani. Kama mnakumbuka wakati Yanga inarejea kutoka Afrika Kusini, Gamondi alishtua zaidi alipozungumza kwa kusema bado hana uhakika kama ataendelea na Yanga kwa msimu ujao, kauli iliyoongeza presha kwenye mustakabali wa kocha huyo klabuni hapo.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.