JACK WOLPER NA BABA HAJI HAPATOSHI NDANI YA ‘KAUVA’

Admin Updates10 years ago5 Views

Jack Wolper na Baba Haji Hapatoshi Ndani ya ‘Kauva’
Wanakutana mastaa wawili
wa Bongo Movies, kwenye filamu ya KAUVA na kufanya makubwa ni hatari
unajua wasanii hao ni nani nani? Basi si wengine ni Jack Wolper na
kipenzi cha wengi mzee wa Malavudavi Haji Adam aka Baba Haji stringi wa
Kihindi

Filamu  ya Kauva inatarajia kuleta mapinduzi katika tasnia ya
filamu kutokana na Teknolojia iliyotumika katika utengenezaji uigizaji
na wasanii walioshiriki katika filamu hiyo kuigiza wameonyesha ushindani
mkubwa sana anasema msemaji wa Splash Steve Serengia.
“Ni kazi ambayo imetengenezwa na kutedewa haki na wasanii walioigiza
kama unavyomjua Baba Haji na amekutana na Jack Wolper huku kuna Hashim
Kambi si mchezo na inasambazwa na Splash Entertainment,”anasema Steve.
FC
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.