Irene Uwoya “Mungu Nisamehe Naenda Kuiba Mwanaume wa Mtu”

Special Correspondent6 years ago5 Views

Irene Uwoya “Mungu nisamehe naenda kuiba mwanaume wa mtu”

Muigizaji Irene Uwoya amerudi tena kwenye headlines leo November 13,2018 hii ni baada ya caption yake ya instagram na kusema kuwa anamuomba Mungu msamaha kuwa anaenda kuiba mwanaume wa mtu kwasababu alivyoibiwa wake Mungu hakusema chochote.

Kumekuwa na tetesi kuwa Dogo Janja na Irene Uwoya hawako tena katika mahusiano ya kimapenzi na kuripotiwa kuwa kila mtu anaishi kivyake na wameamua kuendelea na maisha yao ya kawaida.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Irene Uwoya ameandika “Baba Mungu nisamehe kwasababu ninaenda kuiba mwanaume wa mtu, kwasababu nilipoibiwa wangu hukusema chochote”

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.