Huyu Boka wa Yanga Hatariii, Ukikimbia Nchale ukisimama Nchale.,…

Admin Updates11 months ago6 Views

Yanga imekamilisha usajili wa beki wa kushoto Chadrack Issaka Boka kutoka FC Saint Lupopo ya DR Congo.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 24 amekuwa akiitumikia timu ya taifa ya DRC ambapo alijumuiswa kwenye kikosi hicho kilichoshiriki michuano ya CHAN iliyofanyika Algeria mwaka 2022 akicheza michezo yote mitatu ya hatua ya makundi.
Usajili wa Yanga SC mpaka sasa
1. Clatous Chota Chama✅
2. Prince Mpumelelo Dube✅
3. Chadrack Issaka Boka✅
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.