Hatimaye Simba yafunguka ishu ya Kocha Mkuu

1 year ago114 Views

 Hatimaye Simba yafunguka ishu ya Kocha Mkuu

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmedy Ally kuhusu nafasi ya Kocha Mkuu wa timu hiyo amesema;

“Nafasi ya kocha mchakato wake utakamilika muda sio mrefu na tutamtangaza. Tutatangaza nafasi zote katika eneo la benchi la ufundi na sio Kocha Mkuu pekee.

“Najua maswali yamekuwa mengi kuhusu Kocha Juma Mgunda na Selemani Matola ambao kimsingi mpaka sasa ndio makocha wetu hadi pale itakapotangazwa vinginevyo.

“Mgunda amethibitisha ni kocha wa daraja la juu na shauku ya wanasimba wengi ni kuona anakabidhiwa timu moja kwa Moja.

“Swali hili la Mgunda na yale mengine yote kuhusu kocha tutayajibu siku sio nyingi,” amesema Ahmed Ally.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.