tamu ni kuwa mpaka sasa hivi Yanga SC hawaja tangaza viingilio wala uwanja wa mchezo wa derby,
Na sheria ni lazima points ukapewe uwanjani na marefa wakiwepo uwanjani,
Na meneja wa uwanja wa Mkapa hana taarifa yoyote ya yanga sc kutumia uwanja kwaajili ya derby tarehe 15
YAJAYO
Ukisikia Simba SC kaingia kwa Mkapa anamsubiria Yanga SC
Usishangae Yanga SC akawa new Aman Complex anamsubiria Simba SC
Na Yanga SC ndio mwenyeji wa huu mchezo
TFF na bodi ya ligi kuu ya NBC hawana mamlaka ya kuchagua uwanja wa mechi
🤣🤣 Patamu hapo,
Acha mvua inyeshe tujue wapi panapo vuja.HAKIKA YANGA SC NI WABUNIFU SANA 🔰 🔰 🔰
Ameandika Prince Deogratius Mchambuzi wa soka sports
Vile ambavyo Pacome Zouzoua anawaangalia TFF na bodi ya ligi kuu ya NBC
Utamu ni kuwa mpaka sasa hivi Yanga SC hawaja tangaza viingilio wala uwanja wa mchezo wa derby,
Na sheria ni lazima points ukapewe uwanjani na marefa wakiwepo uwanjani,
Na meneja wa uwanja wa Mkapa hana taarifa yoyote ya yanga sc kutumia uwanja kwaajili ya derby tarehe 15
YAJAYO
Ukisikia Simba SC kaingia kwa Mkapa anamsubiria Yanga SC
Usishangae Yanga SC akawa new Aman Complex anamsubiria Simba SC
Na Yanga SC ndio mwenyeji wa huu mchezo
TFF na bodi ya ligi kuu ya NBC hawana mamlaka ya kuchagua uwanja wa mechi
🤣🤣 Patamu hapo,
Acha mvua inyeshe tujue wapi panapo vuja.