HABARI PICHA:MHE. RAIS SAMIA AKITOA MAELEKEZO KWA KATIBU MKUU CCM NDG.CHONGOLO

2 years ago106 Views

Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndg.Daniel Chongolo akipokea maelekezo toka kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuhutubia kilele cha siku ya Wafanyakazi katika uwanja wa Jamhuri mkoani morogoro wiki iliyopita tarehe 1/05/2023 ambapo aliwasisitizia wafanyakazi kuwa nyongeza ya mwaka kwa watumishi ni haki yao na serikali anayoiongoza ya CCM itahakikisha inaendelea kutoa.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.