Eng.Victor Seff Akagua maendeleo ya Utekelezaji wa mradi wa RISE Mkoani Iringa

Admin Updates1 year ago5 Views

 

Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor H. Seff pamoja na Timu ya Utekelezaji wa mradi wa RISE toka TARURA na TANROADS wakikagua maendeleo ya ujenzi wa ofisi za Mhandisi Mshauri wa mradi wa RISE inayoendelea kujengwa eneo la Ngelewala katika wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Ofisi hiyo ikikamilika itaongeza ufanisi katika utekelezaji wa mradi.

Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor H. Seff, akipokea taarifa ya utekelezaji wa mradi wa RISE kutoka kwa timu inayotekeleza mradi huo mkoani Iringa leo tarehe 13 Machi,2024. Mradi wa RISE unatekelezwa mkoani Iringa katika wilaya ya Iringa na Mufindi, barabara zitakazonufaika na mradi huo ni barabara ya Wenda -Mgama Km 19 na barabara ya Mtili -Ifwagi Km 14 zote zinajengwa kwa kiwango cha lami.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.