Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor H. Seff pamoja na Timu ya Utekelezaji wa mradi wa RISE toka TARURA na TANROADS wakikagua maendeleo ya ujenzi wa ofisi za Mhandisi Mshauri wa mradi wa RISE inayoendelea kujengwa eneo la Ngelewala katika wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Ofisi hiyo ikikamilika itaongeza ufanisi katika utekelezaji wa mradi.
Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor H. Seff, akipokea taarifa ya utekelezaji wa mradi wa RISE kutoka kwa timu inayotekeleza mradi huo mkoani Iringa leo tarehe 13 Machi,2024. Mradi wa RISE unatekelezwa mkoani Iringa katika wilaya ya Iringa na Mufindi, barabara zitakazonufaika na mradi huo ni barabara ya Wenda -Mgama Km 19 na barabara ya Mtili -Ifwagi Km 14 zote zinajengwa kwa kiwango cha lami.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33








